Baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa CUF Bw. Lipumba kubwaga manyaga siku ya jana, siri nzito imevuja ndani ya chama hiko ikidaiwa kwamba Mheshimiwa huyo ana mpango wa kukihama chama hicho alichokiongoza kwa miaka 16.
Chanzo kimeendelea kutanabaisha kwamba kinachomfanya Lipumba achelewe kufanya maamuzi ni ukimya wa mwenza wake katika siasa Dkt Slaa, hiyo inatokana na ukaribu waliojijingea hivi karibuni kupitia ukawa.
Tutaendelea kujuzana kadri chanzo kinavyozidi kutia maguu.
Chanzo kimeendelea kutanabaisha kwamba kinachomfanya Lipumba achelewe kufanya maamuzi ni ukimya wa mwenza wake katika siasa Dkt Slaa, hiyo inatokana na ukaribu waliojijingea hivi karibuni kupitia ukawa.
Tutaendelea kujuzana kadri chanzo kinavyozidi kutia maguu.